emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

Jisajili, Tukutambue, Tukutambulishe

Fahamu Huduma Zetu

Usajili wa Raia wa Tanzania

Zipo njia mbili za kuweza kutumiwa na Mwombaji Kujisajili:-
1) Usajili kwa njia ya Mtandao.
2) Usajili kwa njia ya kawaida.

Usajili wa Mgeni Mkaazi

Wageni Wakaazi wenye umri wa miaka 18 na zaidi wanaoishi nchini Tanzania kulingana na hati ya ukaazi wanaarifiwa kujitokeza Kusajiliwa kwa mujibu wa sheria ya Usajili na Utambuzi wa watu kwenye ofisi ya

Usajili wa Diaspora

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa imefanikiwa kuanza utaratibu wa kusajili Watanzania wanaoishi nje ya nchi ambapo kwa kuanzia Mamlaka iliendesha zoezi la Usajili wa Diaspora waishio Marekani

Matumizi ya Kitambulisho cha Taifa

unaweza kutumia Namba yako ya Utambulisho wa Taifa (NIN)/Kitambulisho cha Taifa (NID) kupata huduma nyingi za kijamii, kiuchumi na kiusalama katika maeneo mbalimbali:-

Marekebisho ya Taarifa za Usajili

Mambo ya msingi ambayo mwananchi anapaswa kuyazingatia ili aweze kurekebishiwa taarifa za usajili kama:
1. Majina 2. Tarehe na mwezi wa kuzaliwa

Jinsi ya Kuhuisha Kitambulisho cha Taifa

Kuna hatua mbalimbali zinazotakiwa kufuatwa na mwombaji aliyepoteza Kitambulisho cha Taifa ili kupatiwa kingine na kuna gharama kidogo mwombaji atatakiwa kuchangia:-

Barua Pepe

info@nida.go.tz


0232210500

Jumatatu - Ijumaa

01:30 asubuhi - 09:30 alasiri

Huduma Mtandao

Jisajili Kimtandao

Fanya usajili wa awali kwa njia ya mtandaoni ili kuokoa muda.Huduma hii ni kwa ajili ya Raia na Mgeni Mkaazi.

Fahamu NIN

Huduma hii inakuwezasha kufahamu namba yako ya utambulisho wa Taifa(NIN) kwa kujaza fomu fupi ya taarifa zako na kuwasilisha..

Fuatilia Ombi

Huduma hii inamuwezesha muombaji wa Kitambulisho cha Taifa kujua hali ya maombi yake.Pia kupata taarifa iwapo kuna hatua zozote za kufuata kwa maombi yaliyokwama.

Malipo Kimtandao

Huduma hii inakuwezesha kujihudumia kwa kutengeneza kumbukumbu namba ya malipo ya serikali kwa huduma ya waliopoteza kitambulisho na kwa maombi ya usajili kwa wageni wakaazi.

Huduma kwa Wadau

Huduma hii ni mahususi kwa wadau wetu kwa ajili ya kufanya uhakiki wa wateja wao na kuhakiki miamala.

Mdau Mpya

Huduma hii inakuwezesha kujisajili kuwa mdau wa NIDA ili upate huduma za ushirikishanaji taarifa.

Habari Mpya

USAJILI NIDA SASA KIMTANDAO

 2025-10-28

Katika kuboresha na kurahisisha huduma za Usajili na Utambuzi wa Watu nchini Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imejenga mfumo unaowawezesha wananchi kujisajili na kutuma maombi yao kwa...

WANANCHI WANUFAIKA NA FURSA ZILIZOKO NCHINI KWA KUWA NA VITAMBULISHO VYA TAIFA

 2025-10-23

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa - NIDA imewezesha raia wa Tanzania, wageni wakaazi na wakimbizi waishio nchini kihalali kutambulika na hivyo kunufaika na huduma mbalimbali za kijamii...

WANANCHI KUFUATILIA MREJESHO WA MAOMBI YA NIDA KUPITIA SMS

 2025-10-23

Mwananchi aliyesajiliwa kwa ajili ya kupata Kitambulisho cha Taifa anaweza kufuatilia ili kujua kama Kitambulisho chake kimekwisha kutoka au bado kwa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms) kwenda...

RAIS SAMIA AMWAGA NEEMA NIDA

 2025-10-17

Serikali imeipatia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) magari mapya 140 ili kuboresha zaidi utendaji kazi wa Mamlaka hiyo, hatua ambayo imepokelewa kwa mikono miwili na hasa...............

Mkurugenzi Mkuu wa NIDA afanya kikao kazi na watumishi wa Kanda ya Kusini

 2025-10-10

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), James Kaji, amefanya kikao kazi na maafisa wa NIDA wa Kanda ya Kusini kilichohusisha mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma. Kikao..........

Video

Peter Msechu - Wimbo maalum wa NIDA
Namna NIDA inavyoshirikiana na wadau wengine | TTCL | TRA

Bango

×

Wadau Wetu

UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025

Kura Yako Haki Yako Jitokeze Kupiga Kura